Msaada tafadhali: Maumivu makali ya mgongo ninapoinamisha Kichwa chini au kuangalia juu

Msaada tafadhali: Maumivu makali ya mgongo ninapoinamisha Kichwa chini au kuangalia juu

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Habari wanajf,

Nimekuwa na maumivu ya mgongo kwa siku tano sasa, hasa katikati ya mgongo upande wa kushoto. Maumivu huongezeka ninapokaa, kusimama, au nikiinamisha kichwa chini au kuangalia juu. Pia, maumivu hujitokeza hata ninapolala au kukaa.

Naomba ushauri, je, hali hii inahitaji matibabu ya haraka, au kuna njia za kupunguza maumivu haya?

Asanteni.
 
Habari wanajf,

Nimekuwa na maumivu ya mgongo kwa siku tano sasa, hasa katikati ya mgongo upande wa kushoto. Maumivu huongezeka ninapokaa, kusimama, au nikiinamisha kichwa chini au kuangalia juu. Pia, maumivu hujitokeza hata ninapolala au kukaa.

Naomba ushauri, je, hali hii inahitaji matibabu ya haraka, au kuna njia za kupunguza maumivu haya?

Asanteni.

Pole sana.

Maumivu ya shingo huashiria tatizo katika misuli shingo au mifupa (pingili) za shingo nk.

Kwa hiyo ni vyema ukafika kwa daktari ufanyiwe uchunguzi na vipimo ili kubaini tatizo linalokusumbua na hatimaye kupatiwa matibabu sahihi.

Kila la kheri.
 
Pole sana.

Maumivu ya shingo huashiria tatizo katika misuli shingo au mifupa (pingili) za shingo nk.

Kwa hiyo ni vyema ukafika kwa daktari ufanyiwe uchunguzi na vipimo ili kubaini tatizo linalokusumbua na hatimaye kupatiwa matibabu sahihi.

Kila la kheri.
Nimefanya ecg Iko hivo
 

Attachments

  • IMG_20250120_145309.jpg
    IMG_20250120_145309.jpg
    1 MB · Views: 4
Back
Top Bottom