Msaada Tafadhali,mtoto anateseka

Nyamburi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
306
Reaction score
36
Wadau habari,jamani ndugu zangu nimekuja hapa jukwaani kuomba ushauri wenu,nina mwanangu ana miaka miwili,alikua hospital wiki iliyopita na alilazwa kwa siku tano kwa ajili ya malaria na asthma!wakamtoa siku ya jumamosi na kurudi nyumbani!cha ajabu toka jana usiku,mpaka hivi sasa mtoto analia tu mfululizo bila kustop,tumempeleka hospital na tumecheck kila kitu wanasema hana tatizo!hapa tumebaki kuchanganyikiwa tu,maana hatujui nini cha ziada kuweza kumsaidia!kwa mwenye msaada wa kimawazo wandugu tunaomba sana tena sana atusaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…