Msaada tafadhali: NACTE watafungua lini maombi ya kujiunga na vyuo vya kati ukiacha vya Afya?

Msaada tafadhali: NACTE watafungua lini maombi ya kujiunga na vyuo vya kati ukiacha vya Afya?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Mpaka sasa maombi ya vyuo yaliyofunguliwa ni kwa vyo vya afya. Je, vyuo vingine apart from Afya maombi yanafunguliwa lini? Mwenye taarifa anijuze.

NACTE tunaomba majibu!
 
Mbona pale CDTI tengeru wanaendelea kupokea maombi
Basi nadhani sasa ni kutuma maombi vyuoni. asante. CDTI ndiyo chuo gani? Sorry nimeona tayari Community Develop Tra.. Inst
 
Chuo cha sanaa na utamaduni kinapokea maombi mpaka sasa...kama una vigezo karibu ndo nipo mwaka wa pili hapa nasoma diploma ya sanaa na utamaduni.... nipigie kwa maelezo zaidi 0765050073
 
kwa kifupi ni kama kuna shida flani sehemu.....ni kama wamekubaliana kutokubaliana!

nilitembelea nacte na katika kutafuta majibu kama hayo yako ya kwanini ni vyuo vya afya pekee nikakutana na jibu kuwa safari hii online application kupitia nacte itakuwa kwa ajili ya vyuo vya afya vya serikali pekee na maombi katika vyuo vingine vyote yapelekwe vuyo husika moja kwa moja.

baada ya kulipata hilo, nikakitafuta chuo flani hivi na kuwasiliana nao. huko nilijibiwa nisubiri kwani chuo chao kitaonekana kama vinavyoonekana hivyo vya afya kuanzia tarehe 01/08/2020. nikashangaa kidogo ingawa nikapata moyo. kuanzia tarehe 1-8(jana)/8/2020 ninachungulia nacte kila dakika hamna kitu......naviona vilevile vya afya!

katika kuendelea kuhangaika na hilo (lengo langu mama ni vyuo vya mifugo), nikajikuta nimekutana na LITA (wakala wa vyuo vya mifugo....niliwapata baada ya kukitafuta chuo husika) na nikaona maelekezo yao mle.......wametoa fomu ya maombi iliyounganisha vyuo vyote vya mifugo; tengeru, madaba, morogoro n.k. nikadowload hiyo fomu ya maombi lakini changamoto kubwa niliyokutana nayo ni kuwa kuna ada ya maombi ambayo unatakiwa uilipe na kuambatanisha pay-in-slip katika fomu yako lakini HAKUNA MAELEKEZO YA AKAUNTI WALA BENKI UNAYOTAKIWA KUILIPIA.....kuna maelekezo ya kiasi tu. nilipanga kesho (jumatatu) niwapigie ili wanielekeze ni wapi tunalipia. nitafanya hivyo kwa kuwa sina namna ingawa nimeanza kupata mashaka kweli ni kwa vipi taasisi kubwa kuwe na vijimakosa vya msingi kama hivyo...(huku kwa mbali nikiwa najiuliza, 'au kuna matapeli wa kimtandao wameingilia kati; wanajua kuwa lazima utawatafuta kupitia namba walizoacha ili wakupige?'). niko a bit confused.

leo mleta mada unavyoniambia kuwa umeanza kuviona vyuo vingine basi nimefarijika, ngoja nami niingie tena huko nione!
 
mbay zaidi inaonekana mwisho wa maombi ni tarehe 15/8/2020.....siku saba tu zimebaki
 
kwa kifupi ni kama kuna shida flani sehemu.....ni kama wamekubaliana kutokubaliana!

nilitembelea nacte na katika kutafuta majibu kama hayo yako ya kwanini ni vyuo vya afya pekee nikakutana na jibu kuwa safari hii online application kupitia nacte itakuwa kwa ajili ya vyuo vya afya vya serikali pekee na maombi katika vyuo vingine vyote yapelekwe vuyo husika moja kwa moja.

baada ya kulipata hilo, nikakitafuta chuo flani hivi na kuwasiliana nao. huko nilijibiwa nisubiri kwani chuo chao kitaonekana kama vinavyoonekana hivyo vya afya kuanzia tarehe 01/08/2020. nikashangaa kidogo ingawa nikapata moyo. kuanzia tarehe 1-8(jana)/8/2020 ninachungulia nacte kila dakika hamna kitu......naviona vilevile vya afya!

katika kuendelea kuhangaika na hilo (lengo langu mama ni vyuo vya mifugo), nikajikuta nimekutana na LITA (wakala wa vyuo vya mifugo....niliwapata baada ya kukitafuta chuo husika) na nikaona maelekezo yao mle.......wametoa fomu ya maombi iliyounganisha vyuo vyote vya mifugo; tengeru, madaba, morogoro n.k. nikadowload hiyo fomu ya maombi lakini changamoto kubwa niliyokutana nayo ni kuwa kuna ada ya maombi ambayo unatakiwa uilipe na kuambatanisha pay-in-slip katika fomu yako lakini HAKUNA MAELEKEZO YA AKAUNTI WALA BENKI UNAYOTAKIWA KUILIPIA.....kuna maelekezo ya kiasi tu. nilipanga kesho (jumatatu) niwapigie ili wanielekeze ni wapi tunalipia. nitafanya hivyo kwa kuwa sina namna ingawa nimeanza kupata mashaka kweli ni kwa vipi taasisi kubwa kuwe na vijimakosa vya msingi kama hivyo...(huku kwa mbali nikiwa najiuliza, 'au kuna matapeli wa kimtandao wameingilia kati; wanajua kuwa lazima utawatafuta kupitia namba walizoacha ili wakupige?'). niko a bit confused.

leo mleta mada unavyoniambia kuwa umeanza kuviona vyuo vingine basi nimefarijika, ngoja nami niingie tena huko nione!
Asante kwa maelezo mazuri. Ngoja nimtafute Ndalichako. May be she might help. Unaona kabisa ni uhuni wa NACTE! Mkurugenzi huyu hafai kabisa!
Naomba hiyo link nipate fomu yao tafadhali sana!
 
mbay zaidi inaonekana mwisho wa maombi ni tarehe 15/8/2020.....siku saba tu zimebaki
Kwa vyuo vya afya! tu! Sasa mtu atavijua vipi vyuo vingine. Kuna watoto wako vijijini ambako hana source of information NACTE ilibidi wafungue vyuo vyote mtu aombe online!
 
Kwa vyuo vya afya! tu! Sasa mtu atavijua vipi vyuo vingine. Kuna watoto wako vijijini ambako hana source of information NACTE ilibidi wafungue vyuo vyote mtu aombe online!
kabisa mkuu, na kwa taarifa niliyoisikia jana kuna wachaguliwa zaidi ya 16,000 hawajathibitisha kuchaguliwa kwao. pamoja na mambo mengine, masuala ya mtandao kutokana na ukijijini wa wengi wao kama ulivyosema yanachangia sana tu. waangalie namna ya kurahisisha hili
 
Kwa vyuo vya afya! tu! Sasa mtu atavijua vipi vyuo vingine. Kuna watoto wako vijijini ambako hana source of information NACTE ilibidi wafungue vyuo vyote mtu aombe online!
Kwani Mkuu bado unasoma..?
Maana ww kila mwaka kuulizia vyuo tu hahahahahaaaaaa
 
kwa kifupi ni kama kuna shida flani sehemu.....ni kama wamekubaliana kutokubaliana!

nilitembelea nacte na katika kutafuta majibu kama hayo yako ya kwanini ni vyuo vya afya pekee nikakutana na jibu kuwa safari hii online application kupitia nacte itakuwa kwa ajili ya vyuo vya afya vya serikali pekee na maombi katika vyuo vingine vyote yapelekwe vuyo husika moja kwa moja.

baada ya kulipata hilo, nikakitafuta chuo flani hivi na kuwasiliana nao. huko nilijibiwa nisubiri kwani chuo chao kitaonekana kama vinavyoonekana hivyo vya afya kuanzia tarehe 01/08/2020. nikashangaa kidogo ingawa nikapata moyo. kuanzia tarehe 1-8(jana)/8/2020 ninachungulia nacte kila dakika hamna kitu......naviona vilevile vya afya!

katika kuendelea kuhangaika na hilo (lengo langu mama ni vyuo vya mifugo), nikajikuta nimekutana na LITA (wakala wa vyuo vya mifugo....niliwapata baada ya kukitafuta chuo husika) na nikaona maelekezo yao mle.......wametoa fomu ya maombi iliyounganisha vyuo vyote vya mifugo; tengeru, madaba, morogoro n.k. nikadowload hiyo fomu ya maombi lakini changamoto kubwa niliyokutana nayo ni kuwa kuna ada ya maombi ambayo unatakiwa uilipe na kuambatanisha pay-in-slip katika fomu yako lakini HAKUNA MAELEKEZO YA AKAUNTI WALA BENKI UNAYOTAKIWA KUILIPIA.....kuna maelekezo ya kiasi tu. nilipanga kesho (jumatatu) niwapigie ili wanielekeze ni wapi tunalipia. nitafanya hivyo kwa kuwa sina namna ingawa nimeanza kupata mashaka kweli ni kwa vipi taasisi kubwa kuwe na vijimakosa vya msingi kama hivyo...(huku kwa mbali nikiwa najiuliza, 'au kuna matapeli wa kimtandao wameingilia kati; wanajua kuwa lazima utawatafuta kupitia namba walizoacha ili wakupige?'). niko a bit confused.

leo mleta mada unavyoniambia kuwa umeanza kuviona vyuo vingine basi nimefarijika, ngoja nami niingie tena huko nione!
Mkuu, kama vyuo vya lita Account ya malipo inakuwa moja tu ya Lita agent na inapatikana kwenye form humohumo.
Kuwa makini kuchunguza, hv vitu Nina experience navyo(Nishawahi omba vyuo vya Lita na nilichaguliwa kampasi ya Buhuri-Tanga, japo sikuwahi kusoma nilienda kozi nyingine nilyokuwa interested nayo zaidi. Me katka kusoma kwangu mambo yawao.uo nafuatilia mwenyewe kabisa, Mzee hana habari kabisa ila nashukuru imenifanya niwe gwiji wa kila kitu hakuna mambo yanayonisumbua kwenye hv vitu. Sometimes nawasikitikia sana hawa vijana wanaotegemea kila kitu wafanyiwe na madingi wao.
 
Ndugu jamaa na marafki. Wewe ulishamaliza MATI Mtwara? Naona unapost tu humu!
Wenzio tumesoma na tumemaliza sasa ww kila mwaka unaulizia vyuo tu mara C.medine,Mara kilimo,mifugo, maendeleo ya jamii..!! kwani hawakuchagui mkuu..?
 
Wenzio tumesoma na tumemaliza sasa ww kila mwaka unaulizia vyuo tu mara C.medine,Mara kilimo,mifugo, maendeleo ya jamii..!! kwani hawakuchagui mkuu..?
nimesema ni watoto wa ndugu na jamaa na marafiki, Hujui extended families? Umemaliza Diploma? certificate?
 
H
Mpaka sasa maombi ya vyuo yaliyofunguliwa ni kwa vyo vya afya. Je, vyuo vingine apart from Afya maombi yanafunguliwa lini? Mwenye taarifa anijuze.

NACTE tunaomba majibu!
Hahahahaha dilisha linakalibia kufungwa sisi huku full pressure tuuh tarehe 26 /8/2020 majina yanatoka tunafunga na kusali tuuh kitaha sio poa
 
nimesema ni watoto wa ndugu na jamaa na marafiki, Hujui extended families? Umemaliza Diploma? certificate?
Nioneshe wapi ulipoandika watoto wa ndugu jamaa na marafiki(extended families..)
Inaonesha watoto wa ukoo nzima we ndo unawapangia na kuwaongoza kozi za kusoma, naamini we ndo educated wa kwanza kwenye ukoo wenu Hongera sana
 
Mkuu, kama vyuo vya lita Account ya malipo inakuwa moja tu ya Lita agent na inapatikana kwenye form humohumo.
Kuwa makini kuchunguza, hv vitu Nina experience navyo(Nishawahi omba vyuo vya Lita na nilichaguliwa kampasi ya Buhuri-Tanga, japo sikuwahi kusoma nilienda kozi nyingine nilyokuwa interested nayo zaidi. Me katka kusoma kwangu mambo yawao.uo nafuatilia mwenyewe kabisa, Mzee hana habari kabisa ila nashukuru imenifanya niwe gwiji wa kila kitu hakuna mambo yanayonisumbua kwenye hv vitu. Sometimes nawasikitikia sana hawa vijana wanaotegemea kila kitu wafanyiwe na madingi wao.
ahsante mkuu, najitahidi kuwa makini kwa ajili ya ndugu yangu, hata hivyo ni ukweli kuwa safari hii fomu yao hakuna kabisa taarifa ya akaunti......nimeangalia mara kuangalia!
 
Back
Top Bottom