Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hiyo pesa ulivyotoa ulipewa stakabadhi ya malipo? Kama sio hivyo imekula kwako ila kwa kuwa jamaa bado anatamaa na pesa basis mbembeleze mwambie umuongezee kiasi kingine cha Pesa ili akamilishe deal najua atakubali then kamchukulie Pesa za moto halafu umpe.hiyo inaitwa jino kwa jino .
Nilimtumia kwa M-Pesa na message bado zipo,lakini pia message ninazochat naye zipo na zinajieleza wazi
Naweza kusema siyo halali,
nilimuomba asaidie tu ndo akadai anataka japo chochote...
so sijui kama naweza kumbana kisheria ndo maana nikaomba msaada.
Nilimpa pesa mfanyakazi mmoja wa wizara fulani ili anisaidie kupata uhamisho kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
Sasa ameshindwa kufanya hiyo kazi na hataki kurudisha pesa,
je naanzia wapi kisheria?
msaada tafadhali mnaojua sheria..
nawasilisha