Minkya
Member
- Nov 12, 2012
- 29
- 5
Habari wanajamvi!!
Nimekua nikifatilia sana maswala yahusuyo lugha yetu adhimu ya Kiswahili na mara nyingi huwa najaribu
kutafuta majibu kwanza mwenyewe kwa Misamiati mingi ya lugha, unakuta huwa tumekopa au yanaambatana
na visasili vichache vinavyokupatia maana halisi ya neno husika.
Nimekua kwenye mishughuliko fulan kipind cha ivi karibuni na nimebahatika kukutana na wanajamii wa mataifa
mengine hasa hasa ya Ulaya ivyo nimejikuta kila utaifa ninaokutana nao najiuliza Hivi kwa Kiswahili tunawaitaje
hawa halafu najaribu kuoanisha na utaifa wao....
mfano: French tunawaita Wafaransa sababu wanatokea France(Ufaransa) au
Spanish tunawaita Wahispania au waspanyola sababu wametokea Spain...nk
Utagundua herufi zinavojirudia kwenye majina wanavojulikana kimataifa(kiingereza) na Kiswahili
Sasa nikaja kwa jamaa ametokea portuguese, awa tunawaita WARENO au nchi yao tunaiita URENO...kwa nn??
Kiswahili tulilitoa wapi hilo jina Ureno....nn kisa??
Najua kuna wataalamu wa lugha yetu umu tafadhali naombeni msaada wenu!!!
Nimekua nikifatilia sana maswala yahusuyo lugha yetu adhimu ya Kiswahili na mara nyingi huwa najaribu
kutafuta majibu kwanza mwenyewe kwa Misamiati mingi ya lugha, unakuta huwa tumekopa au yanaambatana
na visasili vichache vinavyokupatia maana halisi ya neno husika.
Nimekua kwenye mishughuliko fulan kipind cha ivi karibuni na nimebahatika kukutana na wanajamii wa mataifa
mengine hasa hasa ya Ulaya ivyo nimejikuta kila utaifa ninaokutana nao najiuliza Hivi kwa Kiswahili tunawaitaje
hawa halafu najaribu kuoanisha na utaifa wao....
mfano: French tunawaita Wafaransa sababu wanatokea France(Ufaransa) au
Spanish tunawaita Wahispania au waspanyola sababu wametokea Spain...nk
Utagundua herufi zinavojirudia kwenye majina wanavojulikana kimataifa(kiingereza) na Kiswahili
Sasa nikaja kwa jamaa ametokea portuguese, awa tunawaita WARENO au nchi yao tunaiita URENO...kwa nn??
Kiswahili tulilitoa wapi hilo jina Ureno....nn kisa??
Najua kuna wataalamu wa lugha yetu umu tafadhali naombeni msaada wenu!!!