KIBUYUSAFI
Senior Member
- Dec 22, 2015
- 104
- 51
Ndugu wana jamvi gari yangu inawasha taa ya ABS sio mara zote ila ukiwa safari ndefu ndio taa inawaka nikisimama nazima gari halafu nawasha na taa haiwaki tena hadi muda mwengine tena ukitembea muda inawaka