K KIBUYUSAFI Senior Member Joined Dec 22, 2015 Posts 104 Reaction score 51 Apr 17, 2018 #1 Ndugu wana jamvi gari yangu inawasha taa ya ABS sio mara zote ila ukiwa safari ndefu ndio taa inawaka nikisimama nazima gari halafu nawasha na taa haiwaki tena hadi muda mwengine tena ukitembea muda inawaka
Ndugu wana jamvi gari yangu inawasha taa ya ABS sio mara zote ila ukiwa safari ndefu ndio taa inawaka nikisimama nazima gari halafu nawasha na taa haiwaki tena hadi muda mwengine tena ukitembea muda inawaka
kitoko Member Joined Oct 19, 2017 Posts 51 Reaction score 54 Apr 18, 2018 #2 angalia system yake itakuwa na loose
Shuleless JF-Expert Member Joined Aug 12, 2015 Posts 4,957 Reaction score 6,221 Apr 18, 2018 #3 ABS ni mfumo wa brakes sio tatizo kubwa sana, kuna hitilafu kwenye mfumo wake ingia garage.