Tafadhali naombeni msaada kuna Mtoto wa rafiki yangu ana ugonjwa pengine niute wa ngozi, pembezo mwa unyao wa kila mguu amechanika chanika sana kama Yale wanayaita masagamba!
Dawa IPI inafanyakazi ili imsaidie aendelee Na shule yake ya msingi darasa la NNE.