Udhurungi ndio rangi ipi mkuu?Ukweli una parameters.mfano mtoto mdogo ukimpa 2000 ataiona kubwa ila mtu mzima ataiona Ni ya kawaida
Ni kama light brown (rangi kama ya andazi)
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, hivi unauhakika gani rangi zote huwa tunaziona sawa?
Namaanisha mfano unaposema rangi ya njano, una uhakika gani kuwa mimi naiona kama unavyoiona ww, au tunaongozwa tu na majina ambayo yameshawekwa?
Rangi kama udhurungi, hiyo ndio huwa naisikia tu, au pengine kwangu inajina jingine.
Kwanza jina udhurungi lilitokana na nini au lilitoka wapi?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mmh hivi ni kweli sijui rangi kiasi hiki?Ni kama light brown (rangi kama ya andazi)
Kwa kesi ya vitu, hapo ni rahisi maana unaweza ukaelezea muonekano. Ila rangi unamwambiaje mtu jinsi rangi ilivyoUhakika juu ya ili [emoji777]
Uhakika juu ya hili [emoji818]
Udhurungi [emoji777]
Hudhurungi [emoji818]
Swali lako ni gumu sana kwa sababu linagusa dhana nzima ya nini ni uhalisi wa kitu tunachokiona? Nitajuaje kama meza ninayoiona kweli ni meza hiyo hiyo unayoiona? Uhalisia wa kitu ni nini? Je, nyekundu yangu ni nyekundu yako? Vipi kama nina colour blindness?...aaargh !!!
Wachukue vitambaa 7 vyenye rangi yofauti, na tukaambiwa kujaza majina ya Rangi hizo.Una uhakika gani hiyo wanayoiita nyekundu, kwamba mimi na ww tunaiona sawa?