Mukuu123 JF-Expert Member Joined May 7, 2019 Posts 319 Reaction score 1,223 Oct 29, 2023 #1 Habari za saa hizi wakuu? Ni kama week ya tatu na kipele kimetoka mkononi nikikamua kinarudi tena, hakiumi hata kidogo. Je, wataalamu hii inaweza kuwa nini? Wasio na majibu naomba mkae kimya.
Habari za saa hizi wakuu? Ni kama week ya tatu na kipele kimetoka mkononi nikikamua kinarudi tena, hakiumi hata kidogo. Je, wataalamu hii inaweza kuwa nini? Wasio na majibu naomba mkae kimya.
Ngurukia JF-Expert Member Joined Feb 25, 2023 Posts 4,407 Reaction score 16,942 Oct 29, 2023 #2 Kama unahofu nahisi ni busara zaidi kwenda hospitali. Mtandao ni sehemu mbaya kabisa kutaka kujua ugonjwa wako. Unaweza ukapata pressure. Japo kimuonekano kinaokana ni kipele cha kawaida tu na ikiwa hakiumi basi kipotezee.
Kama unahofu nahisi ni busara zaidi kwenda hospitali. Mtandao ni sehemu mbaya kabisa kutaka kujua ugonjwa wako. Unaweza ukapata pressure. Japo kimuonekano kinaokana ni kipele cha kawaida tu na ikiwa hakiumi basi kipotezee.
Mukuu123 JF-Expert Member Joined May 7, 2019 Posts 319 Reaction score 1,223 Oct 29, 2023 Thread starter #3 Ngurukia said: Kama unahofu nahisi ni busara zaidi kwenda hospitali. Mtandao ni sehemu mbaya kabisa kutaka kujua ugonjwa wako. Unaweza ukapata pressure. Japo kimuonekano kinaokana ni kipele cha kawaida tu na ikiwa hakiumi basi kipotezee. Click to expand... Asante kwa ushauri
Ngurukia said: Kama unahofu nahisi ni busara zaidi kwenda hospitali. Mtandao ni sehemu mbaya kabisa kutaka kujua ugonjwa wako. Unaweza ukapata pressure. Japo kimuonekano kinaokana ni kipele cha kawaida tu na ikiwa hakiumi basi kipotezee. Click to expand... Asante kwa ushauri
Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 35,012 Reaction score 70,201 Oct 29, 2023 #4 Ukigoogle ndiyo utajipa presha zaidi. Kuna ugonjwa wa ngono mtu anatokwa vipele pia nafikiri so nenda hospital
Ukigoogle ndiyo utajipa presha zaidi. Kuna ugonjwa wa ngono mtu anatokwa vipele pia nafikiri so nenda hospital
Mukuu123 JF-Expert Member Joined May 7, 2019 Posts 319 Reaction score 1,223 Oct 29, 2023 Thread starter #5 Castr said: Ukigoogle ndiyo utajipa presha zaidi. Kuna ugonjwa wa ngono mtu anatokwa vipele pia nafikiri so nenda hospital Click to expand... Ni kipele kimoja tuu icho Asante Kwa ushauri pia
Castr said: Ukigoogle ndiyo utajipa presha zaidi. Kuna ugonjwa wa ngono mtu anatokwa vipele pia nafikiri so nenda hospital Click to expand... Ni kipele kimoja tuu icho Asante Kwa ushauri pia
Morning_star JF-Expert Member Joined Apr 21, 2018 Posts 6,042 Reaction score 17,320 Oct 30, 2023 #6 Jaribu kufanya HIV test kwanza?
D Dafugwadu JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 4,688 Reaction score 5,129 Oct 30, 2023 #7 Kapime sukari.