Msaada Tafadhali usipite bila kusoma hii

Msaada Tafadhali usipite bila kusoma hii

GIRITA

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
4,432
Reaction score
5,864
Wakuu poleni na majukumu!

Moja kwa moja naomba msaada kuunganishwa na mafundi wanaodeal na Simu na Computer jijini Mwanza, ili niweze kujishikiza maana life limenikaba au kama kuna mtu anaweza kutudhamini mimi na jamaa yangu Tufungue ofisi ya kurepair simu na Computer hapa Mwanza.....vitu nilivyo navyo ni laptop,screw driver kit,Gun soldering iron, nina basic certificate short course ya vsomo upande wa simu....nilisoma hii course pia veta kipawa Muda kidogo....certificate ya IT...nilikuwa nafanya kazi ya mambo ya bima katika hospitali....sikuwahi fungua ofisi,

Kwa sasa nipo mtaani tena ugenini hapa Mwanza....msaada please!
0768195006.
 
Wakuu poleni na majukumu!

Moja kwa moja naomba msaada kuunganishwa na mafundi wanaodeal na Simu na Computer jijini Mwanza, ili niweze kujishikiza maana life limenikaba au kama kuna mtu anaweza kutudhamini mimi na jamaa yangu Tufungue ofisi ya kurepair simu na Computer hapa Mwanza.....vitu nilivyo navyo ni laptop,screw driver kit,Gun soldering iron, nina basic certificate short course ya vsomo upande wa simu....nilisoma hii course pia veta kipawa Muda kidogo....certificate ya IT...nilikuwa nafanya kazi ya mambo ya bima katika hospitali....sikuwahi fungua ofisi,

Kwa sasa nipo mtaani tena ugenini hapa Mwanza....msaada please!
0768195006.
Wanakuja mkuu baki hapa hapa; na Mungu akufanyie wepesi.
 
Ok na kama umelipia online ukienda kule inakuwaje, kuna malipo ya ziada tena
Hakuna kule unaenda kusoma tu,
Mimi sikuona ulazima wa kusoma hii kozi maana walileta fundi wa mtaani kufundisha kufungua na kufunga simu,nilitegemea kozi iwe imeshiba hata software hatukufundishwa Ni wizi mtupu Bora hiyo hela umpe fundi wa mtaani mwenye ujuzi akufundishe.
Lakini sijui kwa Sasa hivi Kama bado wanafundisha vile vile.
 
Fundi simu na PC inahela sana ILA kwa mwanza labda uwe Town..unaona kule Lumumba mafundi hawakosi 50-100k kwa siku..ila huku mtaani National,Nyegezi,Buhongwa n.k yahitaji moyo
 
Fundi simu na PC inahela sana ILA kwa mwanza labda uwe Town..unaona kule Lumumba mafundi hawakosi 50-100k kwa siku..ila huku mtaani National,Nyegezi,Buhongwa n.k yahitaji moyo
Kweli kabisa,nilifungua ofisi maeneo ya Igoma Mtaa wa kufika miti ya Nyerere nilisubiri sana wateja mpaka nikaamua kufunga,pale Lumumba wamejaa ukipita wanakuita Kama wapiga debe wa stendi,Kuna jamaa yangu Ana mshikaji wake Ni fundi pale wako wawili Ana kwambia kwa siku wanalaza 150k-200k sijui Kama Ina ukweli hii.
 
Fundi simu na PC inahela sana ILA kwa mwanza labda uwe Town..unaona kule Lumumba mafundi hawakosi 50-100k kwa siku..ila huku mtaani National,Nyegezi,Buhongwa n.k yahitaji moyo
Wewe upo National?
 
Fundi simu na PC inahela sana ILA kwa mwanza labda uwe Town..unaona kule Lumumba mafundi hawakosi 50-100k kwa siku..ila huku mtaani National,Nyegezi,Buhongwa n.k yahitaji moyo
Unatoa ushauri gani kwa mwenye mtaji wa frame na vifaa maeneo ya mjini sehemu zipi ni nzuri
 
Unatoa ushauri gani kwa mwenye mtaji wa frame na vifaa maeneo ya mjini sehemu zipi ni nzuri
Kama mtaji upo unatafta(Kilemba) tu kama ni Fundi simu na PC..Ingia mtaa wa Lumumba pale nashauri uuze vifaa pia kama vioo vya Samsung n.k mafundi wengi huenda Town kutafuta vifaa hivyo
 
Kama mtaji upo unatafta(Kilemba) tu kama ni Fundi simu na PC..Ingia mtaa wa Lumumba pale nashauri uuze vifaa pia kama vioo vya Samsung n.k mafundi wengi huenda Town kutafuta vifaa hivyo
Kila ni nini
 
Kweli kabisa,nilifungua ofisi maeneo ya Igoma Mtaa wa kufika miti ya Nyerere nilisubiri sana wateja mpaka nikaamua kufunga,pale Lumumba wamejaa ukipita wanakuita Kama wapiga debe wa stendi,Kuna jamaa yangu Ana mshikaji wake Ni fundi pale wako wawili Ana kwambia kwa siku wanalaza 150k-200k sijui Kama Ina ukweli hii.
Kweli iyo town mafundi wanaingiza pesa..hao mawinga ndo wanasaidia zaidi
 
Back
Top Bottom