Hamisi Mzava
Member
- Aug 17, 2013
- 24
- 2
Jina langu nimeliona kwenye list ya waliochaguliwa TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Arusha Na TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Mbeya Centre.Lakini Pindi niangaliapo jina langu kwenye list ya waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja HALIPO..naitwa Hamisi Shabani Hamisi..'"Hamisi Hamisi'" namba yangu ni S1080.0070.2010..nifanyaje jamani waungwana.?