Hamisi Mzava
Member
- Aug 17, 2013
- 24
- 2
fanya mchakato wa kuongea na TCU kwani uliapply kipi kati ya hivyo?
Kama wewe nilikuona IFM,jaribu kucheki na Ifm man
Wasiliana na TCU ili uweze kuchagua chuo kimoja unachokipenda kumbuka wamesema deadline ni september4
chagua chuo unachokitaka kisha wasiliana na tuc
chagua chuo unachokitaka kisha wasiliana na tuc
kama umeshawemail,,na ukaonyesha chuo unachokitaka,,bac we tulia utapangiwa hicho,,ila usipowajulisha,,wanakutupia chochote kati zile ulizopangiwa,,,pamoja sana,,,
Jina langu nimeliona kwenye list ya waliochaguliwa TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Arusha Na TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Mbeya Centre.Lakini Pindi niangaliapo jina langu kwenye list ya waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja HALIPO..naitwa Hamisi Shabani Hamisi..'"Hamisi Hamisi'" namba yangu ni S1080.0070.2010..nifanyaje jamani waungwana.?
kama umeshawemail,,na ukaonyesha chuo unachokitaka,,bac we tulia utapangiwa hicho,,ila usipowajulisha,,wanakutupia chochote kati zile ulizopangiwa,,,pamoja sana,,,
kwa nilivyoona kupitia tcu umepangiwa mbeya campus ndugu