Msaada tafadhali waungwana

topr

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
700
Reaction score
654
Mm ninamke ambae anatatizo lakuwa mkavu kwenye maungo ya uzazi(U..K)inafikia hatua bila mafuta gemu aichezwi najitaidi kumuandaa ila bado ni mkavu tu.

Ushauri nivyakula vya aina gani vinaweza kumsaidia kuondoka na na hali hii nampenda Sana mkewangu na sitaki kuchepuka.
 
Uwe unampaka supu ya bamia kwenye papiuchi kabla ya game.
 
Tafadhali Mods, hii thread iende JF Doctor! Invisible please!
 
Last edited by a moderator:
mwambie ale nyanya chungu nasikiaga ni dawa embu mwambie ajaribu ila unipe feedback sawa mkuu ale kila siku
 
Ni kweli nasikia nyanya chungu inasaidia sana
 
Yes nyanya chungu, ngogwe na bamia at least three times a week, kuna watu walifanya research huko uganda waka find out kuwa nyanya chungu hasa zisiwe zimeiva sana huwa zinasaidia kuongeza vaginal lubrication kwa wanawake na pia inareduce risk ya maambukizi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo UKIMWI.

So nyanya chungu it is. Najua kule JF Chef watakupatia namna nzuuuri ya kuziandaa utazifurahia wewe na mkeo kama mboga and a dawa at the same time.
 
kama mbele pakavu sana hebu jaribu kabang inaweza kuwa ina lubricant kidogo, kisha utuletee mrejesho.
 
nahis hapa sipahala pake mkuu kwa hio thread yko ningekupa ushaur Uende jf doctor ungepata mengi sana hio nyanya chungu inaweza pia athar zake ktk virgin lubricant pia kuna hormone wanakuwa Stimulate faster kuliko uwezo halisi more refrence and explainnation ( reprodutive system chapter 8)
 
Invisible mtendee haki huyu jamaa.. Peleka kwa madaktari kule akapate ushauri
 
Fuata huo ushauri waliotowa watu utafanikiwa wewe kabla hujaanza kufanya nae mapenzi

mchezee sehemu zake za siri mchezee kinembe mnyonye maziwa .Tumia kama dakika 5 kufanya kazi hiyo ikiwa bado hakuja lainika mpake

sehemu za siri mafuta ya Zaituni kutaregea huko chini kisha utacheza huo mpira wako. Sio Wanawake wote wanakuwa wanatokwa na

umaji maji sehemu za siri Wanawake wengine ni wakavu kabisa. Inaonyesha mke wako pia ni Mauminifu kuna wanawake wengine sio

waaminifu wanacheza sana huo mchezo basi pia sehemu ya ukeeni inakuwa na umaji maji sana kwa kucheza mipira mingi.

Mkuu HARUFU Hujambo lakini?
 

Labda utuelezee unamuandaje ndipo tukushauri
 
Asante mzizi mkavu vyoote ulivyo andika apo nimevifanya bila mafanikio,goja tutumie ayo mafuta ya olive oil nyakupa mrejesho
 
Asante mzizi mkavu vyoote ulivyo andika apo nimevifanya bila mafanikio,goja tutumie ayo mafuta ya olive oil nyakupa mrejesho
Mpakaze huyo mpenzi wako hayo mafuta ya Zaituni (Olive Oil) kwenye Papuchi yake basi utaweza kuingiza hilo Dushelele lako kwa urahisi bila ya kupata maumivu wewe na mpenzi wako fanya hivyo kisha uje unipe Feedback ukikosa hayo mafuta ya Zaituni tumia hata mafuta ya nazi pia ni Tosha Mkuu.



Mafuta ya Zaituni Olive Oil.
 

Attachments

  • olive oil.jpg
    14.7 KB · Views: 102
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…