Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Naamini mu wazima,
Naomba msaada wa kujua dawa ya Utango tango mwilini,nina ndugu zangu wameathirika sana na huo ugonjwa unaofanana na mapunye,wametumia dawa mbalimbali lakini bado shida ipo.
Pia mimi mwenye nina mba za kutosha kichwani,japokuwa sina nywele ndefu lakini mba zimekuwa nami bega kwa bega,naomba kujua dawa ya kumaliza tatizo hili pia.
Nasubiria msaada wenu.
Asanteni!
Naomba msaada wa kujua dawa ya Utango tango mwilini,nina ndugu zangu wameathirika sana na huo ugonjwa unaofanana na mapunye,wametumia dawa mbalimbali lakini bado shida ipo.
Pia mimi mwenye nina mba za kutosha kichwani,japokuwa sina nywele ndefu lakini mba zimekuwa nami bega kwa bega,naomba kujua dawa ya kumaliza tatizo hili pia.
Nasubiria msaada wenu.
Asanteni!