Msaada tafadhali

amina ali

Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
52
Reaction score
11
Habari zenu wapendwa nawaomba munisaidie tatizo langu najihisi kua ni mjamzito mana dalili zote za ujauzito ninazo na hapa chini ya kitovu pameanza uvimbe.

Tatizo langu nikwamba napata hedhi kama kawaida tarehe inapofika ispokua haina maumivu yoyote tofauti na siku za nyuma

Je hii ni hali ya kawaida? na kama ni tatizo naweza kupata matibabu? kwa sababu nilishawahi kuweka kijiti nahofia isijekua ndio chanzo cha hili tatizo kwani mimba ya mwanzo sikupata hedhi hata mwezi mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…