Msaada tafadhali

Lady N

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2009
Posts
1,914
Reaction score
132
nataka kumhamisha mdogo wangu shule, atoke Musoma aje Kibaha, barua ya uhamisha niiadress kwa nani na inatakiwa kupitia kwa nani na nani?
 
nataka kumhamisha mdogo wangu shule, atoke Musoma aje Kibaha, barua ya uhamisha niiadress kwa nani na inatakiwa kupitia kwa nani na nani?

Ipeleke kwa afisa elimu wa wilaya ,kisha afisa elimu mkoa anakotoka, na baada ya hapo ndo utaipeleka kwa afisa elimu wilaya na mkoa anakokwenda yaani Afisa Elimu wilaya ya Kibaha kisha A.Elimu mkoa wa Pwani na mwisho shule anako hamia utakuwa umemaliza kazi.
 
ni private au gvt. coz kila sehemu na utaratibu wake
 
Kama ni government, kwanza nenda shuleni anakotaka kuhamia ongea na mkuu wa shule omba nafasi kama akikwambia nafasi ipo hapo ndiyo inakuwa rahisi.
 
Kama ni government, kwanza nenda shuleni anakotaka kuhamia ongea na mkuu wa shule omba nafasi kama akikwambia nafasi ipo hapo ndiyo inakuwa rahisi.
shule nishapata, bado tu kudraft hiyo barua
 
shule nishapata, bado tu kudraft hiyo barua

kama ni boarding kwenda boarding inaweza ikawa rahisi ila kama ni day kwenda boarding then ambatanisha na sababu za msingi kuhalalisha kuhamishwa huko, kama ulivyoelezwa hapo juu barua zinapita kwa REO na DEO (Sekondari)
 
kama ni boarding kwenda boarding inaweza ikawa rahisi ila kama ni day kwenda boarding then ambatanisha na sababu za msingi kuhalalisha kuhamishwa huko, kama ulivyoelezwa hapo juu barua zinapita kwa REO na DEO (Sekondari)
boarding to boarding
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…