Msaada Tafadhali

Msaada Tafadhali

Wernery G Kapinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
376
Reaction score
127
Hello wana JF...

Natumai mnamaliza mwaka vizuri.. Karibu 2019.

Mimi leo naomba mnisaidie namna ninavyoweza kupata mfadhili wa kunisaidia kufungua mradi wangu wa Elimu kwa kujenga shule. Nina ekari 20 Ludewa hapa.

Sasa wanasema vijana tujishughulishe. Mimi nimepambana na nimepata ekari 20. Ni sehemu zuri ambapo huduma zingine Kama umeme na maji ni rahisi kufikia. Naomba mnipe mbinu namna ya kumpata mfadhili.

Asanteni wataalamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom