Poleni na majukumu wakuu
Nimebahatika kupata majani,magamba,na mbegu za mlonge
Najua hapa kuna wajuzi mnaweza kukusaidia namna kuitengeneza iwe dawa na matumizi yake
Nimeutafuta mlonge kwa bidii baada ya kusoma sifa zake humu
Naombeni msaada kwa ilo nataka nianze dozi I leo