Usalama wa Taifa kama TISS na CIA wana DG.
Makampuni yana CEO na MD lakini sijawahi sikia DG.
Mashirika sijawahi sikia CEO.
Sijatoa maana yoyote wala sijui kuelezea hasa lakini kila cheo huwa najua kinafit wapi na ninaweza jua kuna kosa flani limetokea kwenye kuandika au delegation ya kazi flani ikipewa cheo flani.
Pia kuna Director of Operations (DO)