maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Choma pilipili, kunguni au MendeNaandika hili nikiwa na hasira sana
Msaada mwenye kujua spray yeyote au sawa inayoweza chafua hali ya hewa kwa muda mfupi na kusababisha pasikalike
Au dawa ambayo ukichoma itaharibu hali ya hewa kwa muda mfupi yaani ilimradi pasikalike
Msaada tafadhali kwa anaejua moja kati ya hilo
sina kunguni wala mende pilipili sio huwa inapalia?
mkuu naomba unisaidie kwanza kuna watu duniani wanakera sana wanavutia sigara ndani kwene nyumba ya kupangaKuna nn mkuu?
Inapalia ndio, si umetaka pasikalike?sina kunguni wala mende pilipili sio huwa inapalia?
msaada kwanza banduguUnataka umfukuze nani
Hama kesho asubuhi.....kalale lodge vyombo utafwata siku nyinginemkuu naomba unisaidie kwanza kuna watu duniani wanakera sana wanavutia sigara ndani kwene nyumba ya kupanga
Hao ndio wazuri sasa kuwachomea pilipili, wewe toka waache wapaliwemkuu naomba unisaidie kwanza kuna watu duniani wanakera sana wanavutia sigara ndani kwene nyumba ya kupanga
rungu nnayo ila hawa wana roho ngumu yaani ntakua kama nmecheza afu saizi rungu wanaweka harufu za matundaInapalia ndio, si umetaka pasikalike?
Au puliza Rungu
Chukua ya unga choma kidogosina kunguni wala mende pilipili sio huwa inapalia?
ningekua na hela hiyo nngeshahamaHama kesho asubuhi.....kalale lodge vyombo utafwata siku nyingine
Naandika hili nikiwa na hasira sana
Msaada mwenye kujua spray yeyote au sawa inayoweza chafua hali ya hewa kwa muda mfupi na kusababisha pasikalike
Au dawa ambayo ukichoma itaharibu hali ya hewa kwa muda mfupi yaani ilimradi pasikalike
Msaada tafadhali kwa anaejua moja kati ya hilo
Utawafukuza leo, ila kumbuka na wewe watakufukuza keshomsaada kwanza bandugu
Choma chochote cha plastic au mpira wa baskeliNaandika hili nikiwa na hasira sana
Msaada mwenye kujua spray yeyote au sawa inayoweza chafua hali ya hewa kwa muda mfupi na kusababisha pasikalike
Au dawa ambayo ukichoma itaharibu hali ya hewa kwa muda mfupi yaani ilimradi pasikalike
Msaada tafadhali kwa anaejua moja kati ya hilo
ngoja hii niiweke option ya mwisho ikitokea nimekosa kabisa
punguza ushauri kakaUtawafukuza leo, ila kumbuka na wewe watakufukuza kesho
Hiyo unayotaka kununulia harufu mbaya inatoshaningekua na hela hiyo nngeshahama
Kumbe?punguza ushauri kaka