Msaada tafadhali!

Inategemea na chuo na taratibu zao. Ila nadhani kuanzia second lower kwenda juu. GPA ipi ndo second lower hata sikumbuki wajuzi watatusaidia.kuwa na subira
 
Inategemea na chuo na taratibu zao. Ila nadhani kuanzia second lower kwenda juu. GPA ipi ndo second lower hata sikumbuki wajuzi watatusaidia.kuwa na subira

shame on u, yani angekuwa mwanaume ndo kauliza hilo swali basi ungejibu kejeli 2.
 
kudadeki zako ww.......! Yani mashori huwa mnawajibu majibu mazuri but kwa sisi wanaume wenzenu huwa mnatupa kejeli na ku2dis, badilikeni bhana wala so mpango wa nini but ni ulimbukeni huo na usaliti wa hali ya juu

una uhakika gan kama muulza swali ni wa kike au wakiume?
 
una uhakika gan kama muulza swali ni wa kike au wakiume?

Sasa wewe umekuwa usalama wa taifa au? Jst uz even simple analysis nd utajua 2 but sio kukurupuka kitandani na magodoro yako kichwani then unauliza swali la kimwanaasha kama hilo.
 
3.0-3.4 lower upper second, 3.5-4.4 upper second, 4.5- first class,
 
shame on u, yani angekuwa mwanaume ndo kauliza hilo swali basi ungejibu kejeli 2.

shame on u. Changia mada co kukashf wenzio. Ushauliza wakakukejeli? Na km uliuliza upuuz ulitegemea nin? Acha kujaza coment ziczo maana.
 
Masterz wanaanza kuchukua 2.7 mpaka 5..yaan lower second,ukiwa na pass degree unatakiwa usome PGD kwanza ndo mastaz
 
Lakini siyo siri hapa JF kuna ubaguzi mkubwa sana wa kijinsia kwn mm mwnyewe nimeleta maada hapa chini kutaka kusaidiwa tu tathmini lkn kw kuwa n mwanaume,wasamaria watatu wazalendo wasio na roho ya kutu ndo walinisaidia! Jamani hebu tubadilike tuwe kama blood sisters&bro's! Tangu juzi hadi leo hii tunavyozungumza hakuna tena aliyeongezeka! Jamani wanajf,tunaharbu jina la great thinkers kw nn tuwe na dhana finyu za kitumwa kivle? Hata sisi wadogo zenu tunahtaj msaada kutoka kwnu sasa inaniuma sana kuona mnaracial kiac kile! Sjiskii flesh kwa kwl!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…