msaada tafadhali

msaada tafadhali

neyl

Senior Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
127
Reaction score
19
habari, naomba msaada kwa ajuaye sheria kuhusu mambo yafuatayo
1) Kama Arbitrator kwenye labour cases ametoa award ya reinstatement employer anaruhusiwa kuomba atoe compensation instead of kumreinstate?
2) Kama labour court imetoa judgement kuwa employer amrudishe kazin employee and then employer akarefuse to follow that order what wil court do
 
Back
Top Bottom