Msaada tafadhali

Brodre

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,585
Reaction score
1,771
Jamani wale wa IFM mwisho wa usajili ni lini maana wengine ada yasumbua kiaina no matuc plz kama huez nisaidia #mi mtoto wa mkulima na sina mkopo
 
usajili unaendelea hatabaada ya wek3 ila masomo yananza lasm tareh 15 na huwez ingia clas bila ID na kusajiliwa so jitahd uanze kuatend clas na wenzio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…