Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

chen

Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
64
Reaction score
7
Mke wangu anatoa uchafu mweupe kila nifanyapo tendo la ndoa .naomba ufafanuz kwa anae lijua tatizo hili?
 
The "thick, white stuff" you're noticing is vaginal discharge — a mixture of cells and natural body fluids that help clean the vagina. In general, women secrete a clear, mucus-like substance right before ovulation (midcycle) and a thicker, whiter discharge during the rest of the month, though no two women are exactly alike. The color and consistency can also be affected by various factors, such as age, hormonal fluctuations, medications, infections and sexual activity.

The fact that you have recently had an "excess amount" means that it's a result of vaginal contractions forcing the discharge out — and that it's nothing to worry about. (Have you been having more sex lately or a greater number of orgasms?) Infections can cause excess amounts, too, but they are usually accompanied by such symptoms as a change in color, a funky odor or an itching or burning sensation. It can't hurt to play it safe and have your gyno check you out.
 
ok hiyo ni candida albicans tafuta dawa miconazole pesaries. Pamoja na na miconazole topical
ukipata hizo dawa aweke kwenye vagina kabla ya kulala
pia apake dawa hyo topical sehem zote kuanzia sehem ya aja kubwa mpaka mashavu ya uke
 
nasikia wanasema ni uchafu kama ni mweupe so inaitajika kujisafisha kwa uangalifu ila kama unarangi uwa ni ugonjwa.
sina uhakika maana ata mi uwa inanitokea maramoja moja sana
msaada tafadhali
 
nasikia wanasema ni uchafu kama ni mweupe so inaitajika kujisafisha kwa uangalifu ila kama unarangi uwa ni ugonjwa.
sina uhakika maana ata mi uwa inanitokea maramoja moja sana
msaada tafadhali
kuna mambo yanachanganya kidogo kuhusu afya ya uke! ukiona unapata ute mweupe mzito usio na harufu lakini unaambatana na kuwashwa uke ujue una candida. ukiona unapata ute mwepesi wa njano au kijani wenye harufu mbaya isiyoeleweka ujue una trichomoniasis. na ukiona unapata ute wa kijivujivu na harufu kama ya samaki ujue una bacteria vaginosisi. kila ugonjwa una tiba yake. lakini kumbuka kwamba ute wa uke ni mzito na huwa mweupe au safi(clear) ila hauwashi kama candida.
 
kuna mambo yanachanganya kidogo kuhusu afya ya uke! ukiona unapata ute mweupe mzito usio na harufu lakini unaambatana na kuwashwa uke ujue una candida. ukiona unapata ute mwepesi wa njano au kijani wenye harufu mbaya isiyoeleweka ujue una trichomoniasis. na ukiona unapata ute wa kijivujivu na harufu kama ya samaki ujue una bacteria vaginosisi. kila ugonjwa una tiba yake. lakini kumbuka kwamba ute wa uke ni mzito na huwa mweupe au safi(clear) ila hauwashi kama candida.
kwani huwa anawashwa?
 
uchafu wowote ule uwe mweupe au njano ni ugonjwa. Tatizo wanawake huwa mnapenda kusikiliza maneno ya mtaan. Maji yanayotoka uken huwa yapo clear kama maji maji.
 
Back
Top Bottom