Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

HIPPO

Member
Joined
May 4, 2012
Posts
79
Reaction score
16
Nimebahatika kupata mtoto wa kiume wa siku 10 kitovu kimekatika lakini hakikauki naomba ushauri wenu
 
Usihofu kitakauka baada ya siku chache tu mambo ya kuzingatia
-kukausha majimaji hayo kwa kitambaa safi kinachoweza kufyonza maji,
-kusafisha kwa maji safi na kukausha vizuri,
-kukiacha kitovu wazi kipigwe hewa ili kikauke haraka
kama ukiona haya yanayofuata mpeleke hosp.anaweza akawa amepata infection
-kitaanza kutoa majimaji ya njano,kuendeleea kuvimba sana na kuvuja damu,kutoa harufu mbaya.
 
Usihofu kitakauka baada ya siku chache tu mambo ya kuzingatia
-kukausha majimaji hayo kwa kitambaa safi kinachoweza kufyonza maji,
-kusafisha kwa maji safi na kukausha vizuri,
-kukiacha kitovu wazi kipigwe hewa ili kikauke haraka
kama ukiona haya yanayofuata mpeleke hosp.anaweza akawa amepata infection
-kitaanza kutoa majimaji ya njano,kuendeleea kuvimba sana na kuvuja damu,kutoa harufu mbaya.

Thanks
 
Back
Top Bottom