Msaada tafadhali

The Kingston

Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
33
Reaction score
4
Naombeni mnisaidie nina tatizo la uzito kuongezeka na nina hitaji kupunguza ila kwa njia ya chakula au kama kuna mtu anaweza niambia nitumie mpangilio upi wa chakula kwa sababu nakosa muda wa mazoezi kutokana na kazi ninayoifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…