Msaada tafadhali………

Msaada tafadhali………

Nyamagembe

Member
Joined
Apr 23, 2013
Posts
24
Reaction score
4
Mm ni binti, ninahitaji ushauri na msaada wa kitabibu pia if possible, toka nimekuwa (means nimepevuka) siku zangu yaani hedhi haziendi kwa mpangilio(yaani sina mzunguko maalum kama ilivyo kwa wanawake wengi). Mfano natoa summary ya siku zangu toka May 2012, mtiririko ni kama ifuatavyo nilipata hedhi baada ya siku 35, then 55, then 35, then 36, then 40, then 31, then 35, then 55 na wik iliyopita nimepata baada ya kupita siku 42 yaani ya 43 ndo nikapata hedhi. Je, kuna uwezekano wa kupata tiba siku zangu zikakaa sawa?? Na kwa mtiririko huo nikitaka kupata mtoto ndo itakuwaje jamani?? Nisaidieni tafadhali.

Natanguliza shukrani, Asanteni.
 
yaani unatatizo.kama langu nahangaika sana mwenzako.na tatizo hilo na mpaka sasa sijabahatika.mtoto miaka miwil nakosa raha ya maisha
 
yaani unatatizo.kama langu nahangaika sana mwenzako.na tatizo hilo na mpaka sasa sijabahatika.mtoto miaka miwil nakosa raha ya maisha

Pole my dear ngoja tusikie wataalamu watatushauri vp, na pia tusiaache kumshirikisha Mungu mpnz.
 
Pole my dear ngoja tusikie wataalamu watatushauri vp, na pia tusiaache kumshirikisha Mungu mpnz.

Nenda pale Aga Khan Hospital Dar mtafute gynocologist mzee mmoja anaitwa Dr. Chanji. Ni specialist wa wanawake
 
Pole my dear ngoja tusikie wataalamu watatushauri vp, na pia tusiaache kumshirikisha Mungu mpnz.

Poleni sana jamani....mungu ni mwema daima ni imani yangu juwa kwa uwezo wake watapatikana wataalamu na matatizo yenu yatatatulika......
 
naomba kama ulishawahi tumia dawa za kuzuia mimba uniambie na kama haujawahi basi utakuwa natatizo na homoni ndani ya mwili wako hazijabalance pengine vyakula, mawazo, na mambo mengine yatokano na mahangaiko ya maisha. Ila inaweza rudi kwenye noma kikubwa tuliza akili na jiepushe sana vilevi vya aina yoyote ile
 
pole sana nina swali kidogo je, hujawahi kutumia dawa za kuzuia mimba maishani mwako? Pia naomba usiwe na wasiwasi kama haujawahi tumia inaweza kuwa homoni zako haziko balance pengine kutokana na matatizo ya kimaisha, chakula, mawazo, etc. punguza kuwaza sana na fanya mazoezi ili mwili uwe iunachoka na kukuwezesha kulala usingizi mzuri zaidi hakika kama tatizo ni la homoni zitarudi kwenye hali yake ya kawaida
 
Back
Top Bottom