Mpe pole your wifey.. Mie siku ya kwanza ya hedhi tumbo linauma sana, maumivu makali yasiyoelezeka.. Hivyo ni lazima ninywe panadol ndio linapoa.. Bila hivyo siwezi kabisa na nitateseka kweli kimaumivu.
ajaribu buclofan....naweza kuwa nimekosea spelling but ukisoma kama ilivyo phamasist yeyote ataielewa