Mlasani Senior Member Joined Nov 29, 2012 Posts 113 Reaction score 28 Aug 30, 2013 #1 Kwanini sipati usingizi hata kidogo for two days now? Ni ugonjwa au ni nini? Naombeni msaada na tiba kwa anaefahamu hii hali
Kwanini sipati usingizi hata kidogo for two days now? Ni ugonjwa au ni nini? Naombeni msaada na tiba kwa anaefahamu hii hali
Kertel JF-Expert Member Joined May 11, 2012 Posts 5,425 Reaction score 5,227 Aug 30, 2013 #2 Piga kitu cha ndumu(bangi) tatizo litakwisha kabisa
Ako Kwaang JF-Expert Member Joined Mar 12, 2011 Posts 324 Reaction score 259 Aug 30, 2013 #3 Mlasani said: Kwanini sipati usingizi hata kidogo for two days now? Ni ugonjwa au ni nini? Naombeni msaada na tiba kwa anaefahamu hii hali Click to expand... Mkuu pole, lkn jaribu kujiangalia kwa hizi siku 2. Je umekwazwa sana na mtu? Unasumbuliwa na mawazo mengi? Au majukumu yamekuzidi mpaka yanaleta msongo wa mawazo?. Badilisha mazingira kwa ajili ya mapumziko, ikishindikana waone wataalamu wa afya.
Mlasani said: Kwanini sipati usingizi hata kidogo for two days now? Ni ugonjwa au ni nini? Naombeni msaada na tiba kwa anaefahamu hii hali Click to expand... Mkuu pole, lkn jaribu kujiangalia kwa hizi siku 2. Je umekwazwa sana na mtu? Unasumbuliwa na mawazo mengi? Au majukumu yamekuzidi mpaka yanaleta msongo wa mawazo?. Badilisha mazingira kwa ajili ya mapumziko, ikishindikana waone wataalamu wa afya.
Mlasani Senior Member Joined Nov 29, 2012 Posts 113 Reaction score 28 Aug 30, 2013 Thread starter #4 Thanks ndg!
Mtende JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 6,385 Reaction score 7,332 Aug 30, 2013 #5 Kertel said: Piga kitu cha ndumu(bangi) tatizo litakwisha kabisa Click to expand... unamawazo?