Msaada tafadhali.

Naomba nikuulize maswali haya
chuo chake kinafunguliwa lin?
na direct fees za chuoni ni kias gan?
 
Naomba nikuulize maswali haya
chuo chake kinafunguliwa lin?
na direct fees za chuoni ni kias gan?

Chuo kitafunguliwa tar30 mwezi huu,direct fees bado haijafahamika kwani heslb bado.
Lakini gharama hitajika kwa calculation za harakaharaka ni si chini ya 0.8mil.
 
Chuo kitafunguliwa tar30 mwezi huu,direct fees bado haijafahamika kwani heslb bado.
Lakini gharama hitajika kwa calculation za harakaharaka ni si chini ya 0.8mil.

ushauri wangu ni kuwa kama anaweza kumpata mtu wa kumkopa amkopeshe ili hela ya boom ikitoka amlipe unless otherwise asign hela yake ya boom ikatwe juu kwa juu na chuo husika
 
ushauri wangu ni kuwa kama anaweza kumpata mtu wa kumkopa amkopeshe ili hela ya boom ikitoka amlipe unless otherwise asign hela yake ya boom ikatwe juu kwa juu na chuo husika

Asante kwa ushauri mzuri ndg,endelea kubarikiwa na Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…