Msaada tafadhali

chen

Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
64
Reaction score
7
Habari wana jf
nimekutana na demu wangu siku saba baada ya hapo akapata hedhi . Tukakaa akanipigia simu akaniambia siku zake hazioni na ni siku ya thelathin ktk mzunguko wake.tatizo linakuja hivi ananiambia ana ujauzito wakati nimemuacha akiwa anableed.sasa mimba ni yangu au naibiwa naombeni msaada kwa wataalam wanaojua
 
Leeni mtoto namna yoyote unayotafuta
kwasasa ni kutaka kumkana huyo bibie
na ujauzito wake.
 
Baadhi ya wanawake wanatokwa na damu au spotting mwanzoni mwa ujauzito..kwenye zile siku ambazo anazotakiwa apate hedhi..Lakini inakuwa sio damu ya hedhi bali inaitwa "IMPLANTATION BLEEDING" ambayo inasababishwa na yai lilopevuka(lilorutubika) linaposogea kwenye mfuko wa uzazi ili kujiegesha hapo.Damu hii inakuwa nyepesi zaidi tofauti na ya hedhi na mjamzito anaweza aipate kwa siku moja mpaka mbili.
Kumbuka vilevile kwamba kutokwa kwa damu ukeni angali mtu yumjamzito inaweza kuwa ishara ya kwamba kuna kitu hakipo sawa kama kuharibika kwa ujauzito au ujauzito kutunga nje ya mfuko wa uzazi.Halii ni hatari kwa afya ya mjamzito.
Nakushauri umpeleke mwenza wako hospitali akafanyiwe uchunguzi kama kila kitu kipo sawa.
 
mimi49 umemueleza vyema lakini ukiyasoma vizuri maelezo ya huyu bwana inabidi kumuuliza maswali mawili matatu ili kujiridhisha....

Kumbuka kuwa mimba huwa ina dalili kadha wa kadha hata kabla mwanamke haja notice kukosa siku zake...
 
Last edited by a moderator:
mimi49 umemueleza vyema lakini ukiyasoma vizuri maelezo ya huyu bwana inabidi kumuuliza maswali mawili matatu ili kujiridhisha....

Kumbuka kuwa mimba huwa ina dalili kadha wa kadha hata kabla mwanamke haja notice kukosa siku zake...
Sawa mpendwa,You can take over if you wont mind!!:A S-rose:
 
huyo demu unaixh nae kwa xaxa o ulxhampotezea ndio unataka wana jf wakupe moyo umrudie lea mimba ni yako hyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…