Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,667
Habari zenu waungwana. Naomba tumsaidie huyu binti alieniuliza swali hili, anasema mp yake kila mwezi inabadilika, yaani kama mwezi huu imekuja tarehe 20 mwezi unaofata inaweza kutokea tarehe 10 au mfano wake, hadi anashindwa kujua ni tarehe zipi hasa anapata p. Naomba madokta na wanawake tunaweza kumsaidia nini kinasababisha?
Shukran
 
Hali hio imeanza lini?alikuwa na mzunguko wa kawaida mwanzo?Ana mzunguko wa siku ngapi?
 
Ni mda kama miezi 5 zinabadilika

Kuna mabadiliko yoyote katika maisha yake?Mfano stress?,anatumia dawa zozote?
Baada ya khesabu nimegundua kuwa ana mzunguko wa siku 20,kikawaida mzunguko hautakiwi upungue sku 24,Ni ishara ya kwamba kuna tatizo.
  • Kuna uwezekano pia ana mzunguko mfupi kwahio anapata mzunguko mara 2 Kwa mwez yaani anapata mwazoni mwa mwezi na mwishoni mwa mwezi.
  • Au pia kuna uwezekano ana matatizo ya hormones,mfano kama thyroid ipo inactive au overactive inaweza isababishe muongezeko au mapungufu ya hormoni kama ostrogen.Au kuna uwezekano ana uvimbe kwenye kizazi,cycsts au fibroids au ana matatizo kwenye mayai.
Hali hii ikiendela namshari akamuone daktari.
 
Kuna mabadiliko yoyote katika maisha yake?Mfano stress?,anatumia dawa zozote?
Baada ya khesabu nimegundua kuwa ana mzunguko wa siku 20,kikawaida mzunguko hautakiwi upungue sku 24,Ni ishara ya kwamba kuna tatizo.
  • Kuna uwezekano pia ana mzunguko mfupi kwahio anapata mzunguko mara 2 Kwa mwez yaani anapata mwazoni mwa mwezi na mwishoni mwa mwezi.
  • Au pia kuna uwezekano ana matatizo ya hormones,mfano kama thyroid ipo inactive au overactive inaweza isababishe muongezeko au mapungufu ya hormoni kama ostrogen.Au kuna uwezekano ana uvimbe kwenye kizazi,cycsts au fibroids au ana matatizo kwenye mayai.
Hali hii ikiendela namshari akamuone daktari.

Asante sana.... Mungu akubariki
 
Back
Top Bottom