Msaada tafadhali..!

Msaada tafadhali..!

DaNieL 10.12

Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
32
Reaction score
0
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza diploma ya business adm katika chuo kikuu cha mtakatifu yohana Dodoma (SJUT), Napenda kujua ni vigezo gani vinazingatiwa na bodi ya mikopo mpaka mwanachuo kupata mkopo..??
 
Back
Top Bottom