Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza diploma ya business adm katika chuo kikuu cha mtakatifu yohana Dodoma (SJUT), Napenda kujua ni vigezo gani vinazingatiwa na bodi ya mikopo mpaka mwanachuo kupata mkopo..??
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza diploma ya business adm katika chuo kikuu cha mtakatifu yohana Dodoma (SJUT), Napenda kujua ni vigezo gani vinazingatiwa na bodi ya mikopo mpaka mwanachuo kupata mkopo..??