Msaada tafadhali

ushanka

Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
14
Reaction score
2
Naomben msaada ndugu zangu baba yangu anasumbuliwa na eusophagael tumour kwa anayejua tiba na WAP inapatikana nipo muhimbili baada ya rufaaa za hospital mbalimbali lakini mambo bado hayaeleweki na hali inazidi kuwa mbaya.

Nisaidien jamani.
 
naomben msaada ndugu zangu baba yangu anasumbuliwa na eusophagael tumour kwa anayejua tiba na WAP inapatikana nipo muhimbili baada ya rufaaa za hospital mbalimbali lakini mambo bado hayaeleweki na hali inazidi kuwa mbaya.nisaidien jamaan

navyojua kama ni tumor mara nyingi tiba ni operesheni hapo na haufanyiwi operation mpaka unayo damu ya kutosha,moyo unafanya kazi vizuri kama una pressure walau imetulizwa kwa kiwango fulani

Hivo kuwa mpole na kama Muhimbili wamegundua ni malignancy ya koo la chakula ndo maana unaona hawatoi muitikio mzuri...
Mwambie mgonjwa wako madaktri wakija kumuona wamueleze ukweli kinachoeendelea akikaa kimya ndo basi tena mtabaki na pressure bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…