Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

Kasugugu

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
214
Reaction score
98
Msaada tafadhali Nina mke na ndoa yetu ina miezi saba sasa, tangu mwaka jana nimepata tatzo la kufanya tendo la ndoa na kutoa mbegu ambazo hazina rangi ya kawaida(nyeupe) bali zinaonekana na rangi inayoonekana kama ina uchafu na chembe za damu halafu mke wangu hana dalili yoyote ya kushika mimba anaingia period kama kawaida....naombeni msaada ndugu zangu
 
Du pole sana ila ingekuwa mwaka umetimiza na miez kadhaa ningekushauri uende hospital
 
Shukrani pia kaka, naomba ushauri hata kuhusu hali ya hizo mbegu, kunaweza kuwa na tatizo kubwa?
 
Nzito au nyepesi sana au rangi ipoje ya mbegu
 
Mbegu zinakua nyepesi na zenye rangi ya brown, kama zina chembe za uchafu hivi
 
Pole sana sina uzoefu sana ila ikipita Mwaka jaribu kwenda hospital
 
Na pia wataalam jukwaa hili mnaweza mkasaidia
 
c uende tu hosp ukae had mwaka kama n ugonjwa mkubwa c unaendelea kukutafuna
 
Nitafanyia kazi ushauri wako mkuu ndani ya hii wiki
 
Msaada tafadhali Nina mke na ndoa yetu ina miezi saba sasa, tangu mwaka jana nimepata tatzo la kufanya tendo la ndoa na kutoa mbegu ambazo hazina rangi ya kawaida(nyeupe) bali zinaonekana na rangi inayoonekana kama ina uchafu na chembe za damu halafu mke wangu hana dalili yoyote ya kushika mimba anaingia period kama kawaida....naombeni msaada ndugu zangu

Ukipewa majibu utanipm kaka
 
Jitahid kwenda hospitali mkuu ukapate ushauri toka kwa daktari
 
Back
Top Bottom