Ningemshauri avumilie na kuepuka chakula kinachomchefua sana..
Na kupata milo midogo midogo
Madawa kipindi cha ujauzito sio mazuri
Asanteni sana wakuuyaani mwanamke akiwa mjamzito anakuwa very delicate mpaka naogopa kuchangia. . .Ila kama huwa anahisi kichefuchefu ajaribu Fenegan, . ,wakati anasubiri majibu mengine