Msaada tafadhari mwenye utalaamu wa kilimo cha vitunguu.

NGOSWE2

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
1,323
Reaction score
1,608
Habari wakuu! Ninahitaji kulima vitungu lakini sina utaalamu wa kilimo hiki. Mwenye uelewa wa kilimo hiki tafadhari anisaidie. Nahitaji kujua ghalama zake kuanzia kukodi shamba mpaka kupandikiza kwa heka moja. Na nijue mwezi wa ngapi unafaa kulima, nahitaji kulima mwaka huu kama sijachelewa. Mipo wilaya ya Kilosa Morogoro. Natanguliza shukrani.
 
Reactions: SZN
Kunatopic ipo hapa jf kuhusu kitunguu pitia yote afu km unaswali unauliza wadau watakusaidia...ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…