Msaada tafadhari Nahitaji kitabu cha lejendari Mr II Jongwe, Sugu au Taita

Msaada tafadhari Nahitaji kitabu cha lejendari Mr II Jongwe, Sugu au Taita

Kwa nini tuku dm? Kwani ni siri? Mimi ninacho kinaitwa FROM STREET TO PARLIAMENT.
Wewe ni kuku wa kisasa ,muda wote unakunya tu ,,nimetaka kitabu najua kinaitwaje, ishu ni nakipata wapi karaghabao wewe,,
 
Wewe ni kuku wa kisasa ,muda wote unakunya tu ,,nimetaka kitabu najua kinaitwaje, ishu ni nakipata wapi karaghabao wewe,,
Haaaa! Kitabu unatafuta halafu na matusi juu, tutakupaje sasa hicho kitabu, Yaani kitabu utafute wewe halafu unitukane mimi ambae ninacho! Karaghabao mwenyewe, *****!
 
Back
Top Bottom