Msaada tafadhari wadau

Mwa chando

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
359
Reaction score
122
Wadau wa elimu hebu tunaomba kumshauri ndugu yetu aliyehitimu kidato cha 6 na sasa hivi tupo naye jkt,
nisiende mbali coz amenituma niwafikishie kwenu na mumshauri yaliyomema,
kiujumla matokeo yake ya kidato cha sita hayakuwa mazuri alisoma mchepuo wa sayansi PCM
Na matokeo yake yalikuwa DEE,
kwenye matokeo yake
anasema walimwandikia 0 ya 17,
katika kutafuta nafasi ya diploma amepata nafasi kwakuunganishwa katika chuo flani,
swala linaanzia hapa hicho chuo wanataka matokeo ya kidato cha 6,
swali linakuja je!
Anaweza kupata cheti cha form 6 kwa matokeo hayo au afanyaje.?
 

Cheti anapata..... coz yA BRN lakini hata kama hicho chuo wanataka accademic certificate dis tym watakuwa waongo coz hiyo inatoka baada ya mwaka mmja maybe result slip ambayo imeshatoka, na leaving labda ambazo c dhani kama zitakuwa zimetoka coz paper za kutengenezea dis tym zinatoka necta sa cjajua cheti gani wanataka????
 
Hapana hapo hana cheti. ..mwambie a re-sit mtihani na awe serious mambo yataenda tu..
 
Au kama vipi atafute chuo cha certificate
 
siku hizi hata waliopata zero wanapewa vyeti na result slip zao zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…