27/28 octoba nilikutana kimwili na Girl frnd wangu na kwa yeye siku zake huangukia tarehe 1 au 2 kila mwezi, nimeambiwa eti mpaka sasa hajaziona siku zake it means she is pregnant according to her na hiyo siku ambayo tulikutana nilitumia kondomu kwa usahihi kabisa, So how this could be? Msaada tafadhari...!