Msaada tafadhari

mwambadog

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
1,736
Reaction score
1,446
Ndugu zangu!
Kunaugonjwa unaitwa BAWASILI kwa maelezo nilinayo ni kua mgonjwa sehem zake za nyuma za siri yan anus hutoa nyama nje na anapo jisaidia hutoka damu. Nataka kujua tiba yake, na mazara ucpo tibu mapema pia gharama ya matibabu ni shiling ngapi? Pia ni kwanini humpata binadamu?
 
Navoskia ugonjwa huu unasababu nyingi moja wapo ni Chronic Constipation.. Unaweza kusababisha Cancer km usipotibiwa mapema. Ugonjwa huu unatibika hivyo wahi hospitali. Mgonjwa anashauriwa kula mboga na matunda kwa wingi.
 
Navoskia ugonjwa huu unasababu nyingi moja wapo ni Chronic Constipation.. Unaweza kusababisha Cancer km usipotibiwa mapema. Ugonjwa huu unatibika hivyo wahi hospitali. Mgonjwa anashauriwa kula mboga na matunda kwa wingi.

umenipa maelezo mazuri ila mafupi sana nataka kuujua vizuri kwa maana ya kisababishi, madhara kutotibu. Na madhara baada ya muda gan?
 
umenipa maelezo mazuri ila mafupi sana nataka kuujua vizuri kwa maana ya kisababishi, madhara kutotibu. Na madhara baada ya muda gan?
Zaidi ya hapo mkuu sifaham sana niliwahi kuskia redioni ila Mkuu Mzizi Mkavu akiona hii thread atatuwekea mambo sawa manakeni mtaalam
 
Huo ugonjwa unasababishwa na kupata choo kwa tabu sana..tatizo linaanzia kwenye vyakula anavyokula mtu.vyakula hvyo ni jamii ya ngano hasa mikate, chapati,.Pia kutokunywa maji mengi, mboga za majani na kutokula matunda kwa wingi hasa mapapai. kukosa choo huko huanza taratibu na tatizo likiwa sugu ndio husababisha hvyo vinyama viote na vinaitwa HAEMMORRHOIDS KWA JINA LA KITAALAMU. Ili mtu mwenye huo ugonjwa apone ni lazima afanyiwe operation inayoitwa LATERAL SPHICTEROTOMY..ambapo lazima kuna sphicters zitanuliwe ndani ya njia ya haja kubwa. Kwahiyo kama una ndugu yako ana hilo tatizo basi muwahishe hospital muhimbili akafanyiwe hyo operation. Gharama ni sio chini ya laki tano(500,000.00tshs.) maana kuna kulazwa mgojwa siku moja kabla ya operation, dawa pamoja na sindano.Kuna doctor mmoja yupo muhimbili anaitwa MKOMA yupo kitengo cha wagonjwa cha FAST TRACK.go n see him..atakusaidia sana.Operation baada ya mwezi unakuwa umepona...pole sana..naufahamu uo ugonjwa kwakuwa umenitokea na ninayokuambia ndio hayo.
 
nilimsikiaga mzee mmoja akisema kuna m2 wa tiba asili pale mbagala kizuian anatibu hiyo ki2 kwa buku 7! km unashida na uko tayar nikutaftie info kamili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…