ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Nasumbuliwa na sikio ambalo linanifanya nijisikie vibaya pia linapelekea kuuma kwa kichwa kutokana na kuvutika kwa misuli ya sikio hlo. Isitoshe limeziba kabisa (halisikii chochote).
Je nitumie dawa gani niweze kupona?
Je nitumie dawa gani niweze kupona?