Masabuli au Masaburi?
Ni makalio!Mleta mada nakushukuru sana hauko peke yako hata mimi hilo neno limenitatiza sana, i hope tutapata majibu humu.
Ni makalio!
Lugha inakua jamani!
Gazeti la Tanzania Daima trh 6 August 2011.MEYA wa jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi, ambaye ametakiwa na wabunge wa jiji la Dar es Salaam kujiuzulu kupisha uchunguzi kutokana na kashfa ya uuzaji kifisadi Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA), amewajibu wabunge hao na kusema kuwa kuna baadhi yao wanashindwa kufikiri kwa kutumia vichwa na badala yake wanafikiri kwa kutumia 'makalio'.
Neno hilo linatumika kuonyesha ufinyu wa kufikiri na kwa sababu kauli hiyo ilitolewa na Dr. Masaburi katika sakata la UDA akiwapasha wabunge hawana akili na kufikia kuwafananisha kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio! Hivyo hapa JF linaweza kutumika kama tusi, peleka masaburi yako yaani peleka makalio yako au unafikiri kwa kutumia masaburi wewe. Yote kwa yote neno masaburi siyo zuri kwa minajili ya lugha inavyobadilika na jinsi linavyotumika.
Saburi = Kalio,
Masaburi = ........!!!!
Mleta mada nakushukuru sana hauko peke yako hata mimi hilo neno limenitatiza sana, i hope tutapata majibu humu.