MSAADA: Tangawizi hazina uchachu

MSAADA: Tangawizi hazina uchachu

IZENGOB

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
323
Reaction score
317
Wakuu nimefanya jaribio la kulima tangawizi hapa shambani kwangu,Vzimeota na kustawi vizuri shida ni kwamba hazina uchachu sababu nini nimelima Kibiti pwani japokua wazee wa zamani wanasema walishawahi kulima zao hilo hapo zamani na lilistawi vizuri na kuwa na uchachu kama tangawizizilivyo. Hizo zimekaa karibu mwaka sasa.

images.jpg
 
Back
Top Bottom