Msaada taratibu za kufuata ili upate kuwa dealer kwa kampuni za TOYOTA, CMC na DT DOBIES

Msaada taratibu za kufuata ili upate kuwa dealer kwa kampuni za TOYOTA, CMC na DT DOBIES

caine

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2015
Posts
576
Reaction score
1,315
Wasalaam
Mimi ni kijana mjasiriamali nina mipango ya kujiajiri kwa kuanzisha garage. Nilikua naomba msaada wenu kwa wajuzi wa mambo ni taratibu zipi za kufuata ili upate udealer. Vigezo wanavyo angalia,changamoto unazopitia kama dealer na faida za kuwa dealer. Muhimu pia kama kutakua na mawasiliano yatakayo niwezesha kupata taarifa hizi zote muhimu.
Ahsanteni sana na Karibuni
 
Nasubir majibu maaana hii biashara huwa naiwaza hii biashara
 
Mpigie bwana mmoja pale Toyota anaitwa Jitesh Shah namba yake ni: 0784291403 na email yake ni: ma@toyotatz.com, atakujibu maswali yako yote. Kuna mreno mmoja pale anaitwa Jose angekusaidia zaidi bahati mbaya anaondoka Toyota.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mtaji.

2. Demand.

3. Technical skills.

Huwezi kuwa na dealership 6 za brand moja wakati demand inaweza hudumiwa na dealership 1.

So far naona hizo dealership zinatosha labda ulete brand mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom