Msaada: Taratibu za uhamisho wa shule, aliyopangiwa hairidhishi kabisa

Msaada: Taratibu za uhamisho wa shule, aliyopangiwa hairidhishi kabisa

tzhumoally

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
412
Reaction score
156
Wakuu nipo Sumbawanga kwa muda huu, juzi nimetoka nilimpeleka mdogo wangu shule (amepangiwa Mambwe sec school) ila kwa kweli mazingira hayaridhishi kabisa, hakuna walimu na umeme pia hakuna, sasa nimeambiwa hapa Sumbawanga kuna shule inaitwa Kantalamba, nataka nijaribu kumfanyia mpango wa uhamisho kama ikiwezekana, naomba ushauri nianzie wapi maana sina uzoefu ya haya mambo, nataka nifanye hio mipango kabla sijaondoka huku Sumbawanga.
 
Back
Top Bottom