Msaada; Taratibu za ujenzi wa nyumba mjini zipoje kwa sasa?

Msaada; Taratibu za ujenzi wa nyumba mjini zipoje kwa sasa?

kipoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2012
Posts
370
Reaction score
296
Habari, naomba kujua taratibu za ujenzi wa nyumba mjini kwa sasa upoje ? Ikiwa ni pamoja na kujua taratibu za vibali vya ujenzi. Msaada wadau!!
 
Jamaa nilichokipenda kwake kWa mwazi sana! Kuuliza si ujinga hata kidgo
 
Kama kiwanja kina hati basi anzia manispaa kama hakina basi ni uwezo wako tu hakuna wa kukuuliz
 
Kwa Ujenzi wa Nyumba

Ujenzi wa Godown

Ujenzi wa Maghorofa

Kwa Kutumia
1.Interlock Block
2.Tofali za Aina Mbalimbali(Chipping )

Kwa Ujenzi wa Nyumba Hadi Tzs Million 15

Unakaribishwa Kwa Ujenzi Safi

Kwa Mafundi Waliobobea Kwnye Kampuni Yetu.

Tupigie kwa

0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)

ONE2ONE FOCUS

DAR ES SALAAM TANZANIA

MAKUMBUSHO STAND DSM

Tunajenga Mkoa Wowote Tanzania
 
Habari, naomba kujua taratibu za ujenzi wa nyumba mjini kwa sasa upoje ? Ikiwa ni pamoja na kujua taratibu za vibali vya ujenzi. Msaada wadau!!
Nenda ofisi za manispaa utapewa maelekezo yote.
 
Back
Top Bottom