Msaada tatizo kwenye mguu

Msaada tatizo kwenye mguu

Wilhelm Johnny

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2016
Posts
1,368
Reaction score
1,325
Wakuu habari za asubuhi. Nina sumbuliwa na tatizo kwenye mguu lilianza baada ya kuanza mazoezi ya kukimbia mwanzo nilianza vizur baada ya kumaliza wiki kadhaa ndio mguu wa kushoto kwenye goti pakaanza kuuma yaani nikianza kukimbia tu simalizi hata kilometer moja unaanza kuuma nisipokimbia hauna shida. Naombeni msaada kwa sababu naona unanitesa kweli.
P80918-061626(1).jpg
 
Endelea kimbia polepole maumivu yataisha
 
Pole mkuu. Mimi niliumwa magoti yote mawili week mbili mpaka nikaanza kutumia sawa za kuchua maana nilianza kutembea kama kilema. Nikaacha kukimbia ndo nikakaa week mbili na siku kadhaa nikapona. Sasa hivi natembea umbali kidogo nasikia goti kama linataka kurudi tena LA mguu wa kushoto.

Wanaokwambia uendelee kukimbia hawajui maumivu unayopata usiwasikilize hata. Mwishoni utachechemea na kuumwa zaidi.

Nilishauriwa nipumzike mpaka nipone halafu nifanye mazoezi kidogo kidogo ili nisiumwe sana.
 
Pole sana mkuu, nenda hospitali wakuchek au kama vip unaeza kuta ni pepo umuone nabii au pastor akuombee
 
Endelea kimbia polepole maumivu yataisha
mkuu kuna yale maumivu ya misuli wakati unaanza na kuna haya ya huo mfupa pembeni unajua hata kilometer moja siendi naishia kutembea
 
Ni tatizo la kawaida unapoanza mazoezi
 
mkuu kuna yale maumivu ya misuli wakati unaanza na kuna haya ya huo mfupa pembeni unajua hata kilometer moja siendi naishia kutembea
Nimewahi kuwa na maumivu kama yako lakini bada ya muda yaliisha yenyewe
 
Pole mkuu. Mimi niliumwa magoti yote mawili week mbili mpaka nikaanza kutumia sawa za kuchua maana nilianza kutembea kama kilema. Nikaacha kukimbia ndo nikakaa week mbili na siku kadhaa nikapona. Sasa hivi natembea umbali kidogo nasikia goti kama linataka kurudi tena LA mguu wa kushoto.

Wanaokwambia uendelee kukimbia hawajui maumivu unayopata usiwasikilize hata. Mwishoni utachechemea na kuumwa zaidi.

Nilishauriwa nipumzike mpaka nipone halafu nifanye mazoezi kidogo kidogo ili nisiumwe sana.
Mimi unaninyima amani kweli kweli yaani nikiwa road naona wenzangu wanakimbia mimi natrmbea kama kilema roho inauma haswa
 
Nimewahi kuwa na maumivu kama yako lakini bada ya muda yaliisha yenyewe
mimi nikiwa sikimbii niko vizuri tatizo linaanza nikianza kukimbia hata meter 500 sifiki lazima uanze kuuma
 
mimi nikiwa sikimbii niko vizuri tatizo linaanza nikianza kukimbia hata meter 500 sifiki lazima uanze kuuma
Na ndio maana nimekuambia sababu ni kukimbia lakini jitahidi uwe unakimbia sababu ukiiacha kabisa tatizo litaisha ukirudi nalo litarudi hivo kimbia lakini punguza umbali Na speed mpaka mguu utakapo zoea ndo uendelee Na ratiba ya kawaida
 
Pole sana mkuu, nenda hospitali wakuchek au kama vip unaeza kuta ni pepo umuone nabii au pastor akuombee
Kuna baba karibu na ninapokaa ana dawa za mitishamba basi siku akaniambia njoo nikuchue usipotembea vizuri kesho usinipe hela. Akaanza kujisifia sijui ndo anawatibu mpaka wachezaji wa mpira wa team ya taifa ya wanawake wakipata tatizo LA misuli. Akaniambia ninavyoondoka pale kwake ndo nimeshapona. Sikupona ng'oo. Kesho yake akaniambia labda kuna kitu cha kichawi nimekanyaga anipe dawa nikamwambia asante nitarudi. Sikurudi na ukapona wenyewe
 
Na ndio maana nimekuambia sababu ni kukimbia lakini jitahidi uwe unakimbia sababu ukiiacha kabisa tatizo litaisha ukirudi nalo litarudi hivo kimbia lakini punguza umbali Na speed mpaka mguu utakapo zoea ndo uendelee Na ratiba ya kawaida
Mkuu lakini nilifanya hivyo kabla sijafikiria kupumzik tatizo lilizid zaid mpaka nikafikia kuchechemea kutwa nzima. Au nikimbie nikiwa nimefunga Crepe Bandage
 
Mimi unaninyima amani kweli kweli yaani nikiwa road naona wenzangu wanakimbia mimi natrmbea kama kilema roho inauma haswa
Basi wewe bado haujakuuma vizuri. Mimi ilikua hadi kulala ni kama adhabu. Nikishaweka mguu ni kama nautegesha vile. Nikishakaa sehemu wakati wa kunyanyuka mpaka machozi yananitoka jinsi magoti yanavyouma. Sikutamani mazoezi kabisa. Nilitamani hata ofisini nichukue ruhusa mpaka nipone maana ilikua kila ninapopita napewa pole tuu kama vile mie kilema
 
Basi wewe bado haujakuuma vizuri. Mimi ilikua hadi kulala ni kama adhabu. Nikishaweka mguu ni kama nautegesha vile. Nikishakaa sehemu wakati wa kunyanyuka mpaka machozi yananitoka jinsi magoti yanavyouma. Sikutamani mazoezi kabisa. Nilitamani hata ofisini nichukue ruhusa mpaka nipone maana ilikua kila ninapopita napewa pole tuu kama vile mie kilema
Hahahha hii hatari punguzeni kula red meat aseh
 
Basi wewe bado haujakuuma vizuri. Mimi ilikua hadi kulala ni kama adhabu. Nikishaweka mguu ni kama nautegesha vile. Nikishakaa sehemu wakati wa kunyanyuka mpaka machozi yananitoka jinsi magoti yanavyouma. Sikutamani mazoezi kabisa. Nilitamani hata ofisini nichukue ruhusa mpaka nipone maana ilikua kila ninapopita napewa pole tuu kama vile mie kilema
Mhh mimi nimguu mmoja ilifikia ukazid mpaka mchana nikawa nachechemea nikaamua kupumzika kama wiki 2. Leo nimeanza tena ila sijafika kilometer 1 nikaamua kurudi home maana hata kukimbia nilikua siwezi nikatembea tu
 
Wakuu habari za asubuhi. Nina sumbuliwa na tatizo kwenye mguu lilianza baada ya kuanza mazoezi ya kukimbia mwanzo nilianza vizur baada ya kumaliza wiki kadhaa ndio mguu wa kushoto kwenye goti pakaanza kuuma yaani nikianza kukimbia tu simalizi hata kilometer moja unaanza kuuma nisipokimbia hauna shida. Naombeni msaada kwa sababu naona unanitesa kweli.
View attachment 869410
Endelea ni kawaida unapoanza mazoezi,hebu endelea kama wiki hivi mm nilikuwaga na tatizo la vichomi nikokimbia nikawa navipeleka hovyohovyo naw Niko poa
 
Mhh mimi nimguu mmoja ilifikia ukazid mpaka mchana nikawa nachechemea nikaamua kupumzika kama wiki 2. Leo nimeanza tena ila sijafika kilometer 1 nikaamua kurudi home maana hata kukimbia nilikua siwezi nikatembea tu
Anza kutembea magoti yazoee. Niliambiwa uzito unachangia pia. Sasa hivi natembea goti LA kushoto linauma japo sio sana. Nawaza nikianza kukimbia si ndo tatizo litarudi upya.
 
Back
Top Bottom